Thursday, January 10, 2013

MABONDIA OMARY NA DEO KUVAANA FEB 14.

Mabondia Omary Ramadhani kushoto na Deo Njiku wakitunishiana misuri.
Hili ni tukio la baada ya kusaini mkataba kupigania ubingwa wa Tanzania PST siku ya February 14 katika ukumbi wa Friends Corner Hotel Manzese.
[picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com]