MASHINDANO YA UMISET NGAZI YA WILAYA
Mashindano ya Umiseta yanayoshirikisha wanafunzi wa shule za Sekondari kanda ya Mwanza hatua ya Wilaya yakiendelea katika viwanja vya Bwiru Wavulana Sekondari.
Mashindano yaho yaliyoanza tarehe 23/5 na kuitimishwa 24/5 baada ya washiriki watakayoiwakilisha wilaya ya Mwanza Mjini kuchaguliwa, yalishirikisha michezo ya Mpira wa mguu kwa pande zote; wanaume na wanawake, Netball, Volleyball, Riadha, Kuruka mchangani n.k.
Mashindano ya Umiseta yanayoshirikisha wanafunzi wa shule za Sekondari kanda ya Mwanza hatua ya Wilaya yakiendelea katika viwanja vya Bwiru Wavulana Sekondari.
Mashindano yaho yaliyoanza tarehe 23/5 na kuitimishwa 24/5 baada ya washiriki watakayoiwakilisha wilaya ya Mwanza Mjini kuchaguliwa, yalishirikisha michezo ya Mpira wa mguu kwa pande zote; wanaume na wanawake, Netball, Volleyball, Riadha, Kuruka mchangani n.k.

